
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, Pamoja na Ujumbe wake wakiangalia MIchungwa Iliyoteshwa kwa utaalamu maalum,ikiwa tayari inatoa machungwa kwa muda wa miezi miwili,katika kituo cha utafiti wa kilimo cha Batem,Mjini Antaliya nchini uturuki kwa katika ziara ya Mualiko wa Serikali ya Nchi hiyo.,(kushoto) ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Batem Dr Suat Yilmaz.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akipata maelezo na MKurugenzi Dr Suat Yilmaz,wa Taasisi ya Batem,wakati alipotembelea kituo cha utafiti wa mazao ya kilimo ,katika mji wa Antaliya nchini Uturuki leo,alioangalia badhi ya tafiti mbali mbali za mazao katika kituo hicho.
Picha na Ramadhan Othman Uturuki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...