
MAREHEMU MWALIMU MUNGUATOSHA KALEBI TEMU
(1923-2010)
Leo tarehe 29/04/2011 umetimia mwaka mmoja tangu Mungu alipomuita baba yetu katika makao ya milele. Japo hayupo pamoja nasi kimwili, lakini bado yuko nasi mioyoni mwetu. Tunakumbuka upendo, ukarimu na ucheshi wake, pamoja na mafundisho, maonyo na maelekezo aliyokuwa akitupa. Tunamshukuru Mungu kwa uvumilivu na ujasiri aliotupa tangu baba alipotutoka.
Unaendela kukumbukwa na mke wako Santa, watoto wako na wenzi wao, dada zako, mdogo wako, shemeji zako, wajukuu, vitukuu, marafiki na wanaukoo wote.
“BWANA ALITOA NA BWANA AMETWA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE”
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...