Tuna wakaribisha katika tamasha ya "LAST FRIDAY OF THE MONTH CONCERT" ambayo itafanyikwa Triniti (Oysterbay). Wakati huu wa jioni wapenzi watapata nafasi kuwaona wanamuziki bora wa "singer songwriter" Ashimba na Vitali Maembe. Mzungu Kichaa naye atapiga accoustic na kutuburudisha kwa mara ya kwanza na zeze ya kimbulu. Kufunga tamasha hili, Mzungu Kichaa atajiunga na bendi ya Bongo Beat kutuburudisha na nyimbo zake za zamani na badhi ya nyimbo ya albamu yake ijayo.
--
Kind Regards,
Caravan Records
MANAGEMENT
Tel: +255 763 822 022
E-mail: kichaamusic@gmail.com
onstage:
MZUNGU KICHAA www.myspace.com/mzungukich
VITALI MAEMBE www.myspace.com/vitalimaem
ASHIMBA http://www.myspace.com/ash
BONGO BEAT
Forthcoming "LAST FRIDAY OF THE MONTH CONCERT" include:
27.05.2011 - DAR ES SALAAM UNPLUGGED (call for artists open)
01.07.2011 - Bongo meets Brooklyn
29.08.2011 - Theme to be announced


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...