Wananchi, viongozi mbalimbali, wabunge na wadau kutoka asasi mbalimbali wakifuatilia masuala mbalimbali kuhusu mchakato wa utaratibu wa kuandika katiba mpya ya nchi ndani ya ukumbi wa Pius Msekwa leo mjini Dodoma.
Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) wakiwa wameimarisha ulinzi katika eneo la ukumbi wa bunge leo mjini Dodoma.
Wakazi wa Dodoma wakiwa wamejitokeza nje ya ukumbi wa bunge kutoa maoni yao juu ya mchakato wa kuanzishwa kwa mchakato wa utaratibu wa kuandika katiba mpya leo mjini Dodoma na kulazimisha kufungwa kwa muda barabara kuu ya Dodoma – Dar es salaam inayopakana na ukumbi huo.
Wananchi nje ya Bunge Dodoma leo

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dkt. James Msekela akiongea na waandishi wa habari kutoa ufafanuzi wa vurugu zilizotokea nje ya geti la ukumbi wa bunge leo mjini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. kissa kasongwaApril 08, 2011

    watanzania tutumie busara kwa kila jambo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...