Home
Unlabelled
mdau mkuu wa iringa anasa kwenye ulimbo wa mbeya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HIVI BADO TUNAHITAJI HIZI TARATIBU/MILA /UTAMADUNI /WHATEVER?
ReplyDeleteBi harusi mtarajiwa mweupeee kama mdhungu vile yaani kweli hii ni familia ya watu weupe huwezi amini jinsi mashemeji nao walivyo weupe kama dada yao. Siyo ule weupe wa mchina, Hongera mdau Godwin, kila la kheri katika safari yako ya kuelekea kuhalalisha ni mfano wa kuigwa
ReplyDeleteShe is just beautiful...Lucky you....
ReplyDeletemila lazma zdumishwe mtu asiye na mila sawa na hewa, mdau wa juu 1600
ReplyDeleteMawifi na mama mkwe chunga hapo!
ReplyDeleteHongera kwa mdau! Bila shaka atakuwa na TEMBOCARD MASTERCARD ndo maana kakubaliwa kirahisi!!! I like this tangazo!
ReplyDeletehongera mdau franc, bila shaka utapata mda mwingi wa kutuletea matukio mengi zaidi kupitia Iringa na matukio.we wish to get alot kaka
ReplyDelete