
Tanzania’s Biggest Online Tanzania Real Estate Directory
And so much more….
Search or Post Properties FREE!
Are you looking for a home to rent or buy? Visit > http://www.ZoomTanzania.com/
Property owners and estate agents, to post your properties free > Click Here.
Search properties by # bedrooms or baths, rent or sale price, and filter search results to show only those listings in the area of your choice, or those with the amenities you want.
Apartments for Rent (19)
Houses for Rent (41)
Rooms for Let (4)
Houses for Sale (43)
Land for Sale (82)
And much more….
Or, click here to find a Tanzania Real Estate Agent.
Have a great week!
From your friends at ZoomTanzania.com
KWANI MSHAHARA WA MTANZANIA AVARAGE NI TSH NGAPI? MBONA HAKUNA UWIANO KABISA KATI YA HIZO BEI ZA VIWANJA NA PANGO, NK!!!!!! KWELI INABIDI UWE MWIZI ILI UMUDU MAISHA NIMEKUBALI. MANA HATA ULAYA AMBAKO WATU WANAKIPATO KIKUBWA KULIKO TANZANIA GHARAZA ZA PANGO SIO GALI HIVYO, NALIPA APPARTMENT EURO 250 SWEDEN KWA MWEZI.TANZANIA MHHHHHHHHHHHHH KAZI IPO.
ReplyDeleteHiyo apartment ni ya serikali au binafsi? Maana nasikia UK chumba ni pound 350 kwa mwezi kwa nyumba za binafsi. Lakini nyumba za serikali ni nyumba ya vyumba 3 unalipa pound 350 kwa mwezi. Sasa hapa TZ pia ukikaa nyumba za serikali au mwajiri ni kuwa unalipa kodi nafuu. Wale wanaofanya kazi binafsi ndio wanabidi walipe bei kubwa ya pango. Je huko Sweden unafanya kazi au uko kwenye welfare au unabeba maboksi?
ReplyDeleteNOOO hamna cha nyumba ya serikali au nini??? Nyumba ni ghali nchi za nje kutoka lakini zinakwenda na mishahara ya watu. Na ni kutokana na sehemu unayokaa...Nyuma unaweza kupata ya $350 vyumba vitatu na swimming pool juu inategemea ni state gani unaishi na wala sio supplement ya serikali. Na nyumba nzuri tu unaweza kununua kwa $100, 000 ambayo ipo kwenye good neighborhood na good public school lakini Dar haviendani na mishahara wala nini. Tukubali ukweli watu wana price up wanavyotaka na hamna anayejua the real value of anything kwa kweli. Ni kuwa ukiwa unataka kuuza nyumba ni uamke na ubavu mzuri umkute fisadi anayetaka kununua nyumba ndio unauza nyumba yako..Lakini ati ni Tanzania dream no way...You can't dream to do anything in Tanzania with legal income...Lakini huku tuliko we dream and do so many things with our paychecks.
ReplyDelete