KABLA: Bosi wa Vodacom Tanzania Bw. Dietlof Mare akiongea wakati wa uzinduzi wa rangi na nembo ya kampuni hiyo ya simu za mkononi inayoongoza nchini Kwa taswira zaidi za mnuso huu
BOFYA HAPA
.
BAADA: Bosi wa Vodacom Tanzania katika uzi mpya....
Chini ni video yake wakati akiongea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. siss kama wateja wa vodacom tanzania tunawapongeza vodacom kwahatua yao ya kubadili nembo na tunaomba ingeambatna na uboreshaji wa huduma zake. kwa mfano huduma ya internet iko na kasi ambayo si nzuri sana tofauti na mtandao mmoja ambao haujajieneza kama vodacom lakin kasi yao ya internet ni nzuri sana na huduma zao si za kusuasua ukizingatia kwa sasa mawasiliano mengi yanahitaji internet. HAPPY NEW COLOUR VODACOM

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...