

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mimi naona mambo ya semina yameshapitwa na wakati. hayawafikii watu wengi. Tumieni vyombo vya habari kuelimisha umma. Hizo hela za kufanya semina mngezitumia katika kutoa matangazo. Semina tumeziona toka tunazaliwa lakini mavitu yotwe watu wanayofundishwa wala hakirudi walikotoka hawakumbuki walichoelezwa kwa vile wengine semina hizo hawaendi kujifunza kitu wangine wanaenda kama vacation tu...
ReplyDeleteTubadilike na wakati...Tusikalie kufanya vitu vile vile vilivyofanywa miaka ya 60...
Send a text to all users instead....