Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akisisitiza jambo wakati wa Uzinduzi wa Tume ya Utumishi ya Bunge uliofanyika kwenye Ukumbi wa International Conference Centre jijini Dar es Salaam leo.
Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akimtunukia cheti Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda baada ya kumaliza muda wake wa Ukamishna wa Tume ya Utumishi ya Bunge iliyopita kwenye Ukumbi wa International Conference Centre jijini Dar es Salaam leo.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...