Bw. Nazareth Ndekia na Mkewe Clara Mokili wakiwa katika nyuso za furaha mara baada ya kutawazwa kuwa mume na mke katika ndoa yao iliyofungwa katika kanisa la KKKT Kariakoo jijini Dar mwishoni mwa wiki.
Nazareth Ndekia akiwa kambeba mkewe Clara Mokili.
Nazareth Ndekia akimwaga wino mbele ya Mchungaji aliefungisha ndoa yao na bi Clara Mokili.
Clara pia akimwaga wino.
Hongereni sana.Mtulie sasa mjenge familia Imara.
ReplyDeleteDavid V