Bw. Nazareth Ndekia na Mkewe Clara Mokili wakiwa katika nyuso za furaha mara baada ya kutawazwa kuwa mume na mke katika ndoa yao iliyofungwa katika kanisa la KKKT Kariakoo jijini Dar mwishoni mwa wiki.
Nazareth Ndekia akiwa kambeba mkewe Clara Mokili.
Nazareth Ndekia akimwaga wino mbele ya Mchungaji aliefungisha ndoa yao na bi Clara Mokili.
Clara pia akimwaga wino.
Maharusi pamoja na wapambe wao.

kuona picha zaidi
BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 16, 2011

    Hongereni sana.Mtulie sasa mjenge familia Imara.

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...