Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dkt. Charles Kimei na Katibu Mkuu wa TUICO Taifa Ndugu Jonathan Pelesi (Kushoto), wakifanya Makabidhiano ya mkataba huo.
Baadhi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB Pamoja na wageni waalikwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa Benki hiyo Dkt. Charles Kimei na Katibu Mkuu wa TUICO Taifa Ndugu Jonathan Pelesi baada ya kusaini mkataba huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...