Ofisa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania Elihuruma Ngowi akielezea jambo kwa baadhi ya washiriki wa shindano la Miss Universe wakati wa semina ya washiriki hao kujifunza mambo mbalimbali ya kampuni hiyo ,wapili kutoka kushoto Mtaalam wa maswala ya habari Matina Nkurlu,shindano hilo linategemea kufanyika  mwishoni mwa mwezi huu lenye warembo 20 na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.

Mshiriki wa shindano la Miss Universe Yacoba Assengu akifafanua jambo mara baada ya kuulizwa na waandishi wa habari katika semina maalum iliyoandaliwa na Vodacom Tanzania kwa washiriki hao kujifunza mambo mbalimbali yanayofanywa na kampuni hiyo, shindano hilo linategemea kufanyika  mwishoni mwa mwezi huu lenye warembo 20 na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.

Baadhi ya washiriki wa shindalo la Miss Universe wakiwa kwenye semina fupi iliyoandaliwa na Vodacom kwa ajili ya washiriki hao kujifunza mambo mbalimbali ya huduma za kampuni hiyo inazofanya, shindano hilo linategemea kufanyika  mwishoni mwa mwezi huu lenye warembo 20 na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.

Mtaalam wa  mawasiliano na bidhaa wa Vodacom Tanzania  Joel Bendera akifafanua jambo kwenye semina maalumu   ya kampuni hiyo kwa washiriki wa Miss universe,katikati Ofisa huduma na bidhaa wa kampuni hiyo Elihuruma Ngowi,Mtaalamu wa maswala ya habari wa Vodacom Matina Nkurlu,shindano hilo linategemea kufanyika  mwishoni mwa mwezi huu na limedhaminiwa na Vodacom Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...