Mdau nambari wani wa Globu ya Jamii wa Cesena, Italy, Baraka wa Chibiriti (kulia) akimpongeza mwanamuziki nyota wa bendi ya Mapacha Watatu, Jose Mara, ambaye karudi fresh toka Dubai na ndnga mpya ikiwa ni matunda ya juhudi za Mapacha watatu ambayo yameanza kujionesha baada ya kukonga nyoyo za wadau wa muziki wa kizazi kipya cha muziki wa dansi. Chibiriti yuko vekesheni Bongo na kaamua kujitokeza baada ya malalamiko kibao toka kwa wadau wa Globu ya Jamii kwamba wamemmiss sana sana.
Jose Mara na ndinga lake akiweka tint pamoja na kuchora namba kwenye vioo kuepusha vibaka. Hapa ni nje ya Club Billicanas jijini Dar leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Misupu huyo CHIBILITI umempa kontakts za Yule Jamaa wa Napoli aliekuwa anatafuta Watanzania wenzake?

    Na huyo Chibiliti wako alishauza ile KOMPYUTA yake ya Mwaka 47 yenye KICHOGO?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...