Mkurugenzi mtendaji wa shirika la huduma za  abiria na ndege (ground handling) pamoja na kupakia na kupakua mizigo katika viwanja vya ndege ya SWISSPORT Bw. Gaudence Temu aongea wakati wa uzinduzi wa huduma za usafirishajii mizigo itayotolewa na shirika la ndege la Afrika Kusini (SAA) nchini iliyozinduliwa Jumatatu hii katika mkia wa jogoo uliofanyika ukumbi wa Hellenic Club jijini Dar 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2011

    Asante saana mkurungezi kwa kufafanua na kuelezea vizuri saana kazi ambazo swissport ina fanya. Mimi nilidhani kazi yeni ni kupakua mizigo na kupakia kwenye ndege tu....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...