Mtoto wetu Lorain Cosmas Salufu kesho tarehe 22/06/2011 anatimiza miaka 10. Sisi wazazi wake baba Eng. Cosmas Salufu na mama Theresia Salufu pamoja na wadogo zake Nancy na Camilla tunamtakia maisha mema ya mafanikio na yenye kumpendeza Mungu afanikiwe katika masomo yake pale St. Anne Marie Academy anakobukua grade five. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...