Waziri wa nchi ofisi ya Rais anayeshughulikia utawala bora Mathias Chikawe (kushoto) akisalimiana na mdau wa soka mkoa wa Iringa Feisal Asas katika viwanja vya shule ya msingi Igowole leo wakati wa fainali ya kombe la Vodacom Muungano Cup
Waziri wa nchi ofisi ya Rais anayeshughulikia utawala bora Mathias Chikawe(katikati) akitambulishwa na mratibu wa kombe la Muungano Mufindi Daud Yasin kwa meneja wa Vodacom mikoa ya kusini Bw Jackson Kiswaga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...