Hayati Mwashabani A Liganja


BISMILLAH RAHMAN RAHIM


Mpendwa Mama,

Ni miaka minne (4) sasa tangu tulipopokea msiba wako kwa machungu mengi. Daima tunamshukuru Mungu kwa muda wote uliokuwa nasi, si tu kuwa Mama mwenye upendo bali kwa kuwa ulikuwa mtu wa pekee miongoni mwetu.

Ulibarikiwa kwa mambo mengi, ucheshi, hekima, zaidi sana sauti iliyobeba matumaini siku zote. Na juu ya yote kufanya kila jambo kwa kusudi maalum.

Daima unakumbukwa sana na Mumeo Mpenzi George Mapango,
wanao Mariam (Chuma), Eva (Hawa), Jackson (Kibabu), Patrick (Saidi), Rose, Richard na mziwanda wako Maria uliyependa kumuita IA. Wakwe zako Deogratias Sakawa, Ibrahim Lugandu, wajukuu zako Precious (P), Pricilla, wadogo zako, ndugu, jamaa, Marafiki zako, Majirani na Wafanyakazi Wenzako.

Tutaendelea kufuata ushauri wako na mema mengi uliyotufundisha. Kwa upendo wako unatuunganisha Familia na tutaendelea kukumbuka busara zako. 

KISOMO TAREHE 07 JUNI, 2011 SAA 10:00 JIONI 
NYUMBANI KWAKE OCEAN ROAD FLATS .

INNA LILLAHIAHI WA INNA ILAYHI RAJI’UN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...