Tangazo la Maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Banda la Takukuru.
Wadau wa Mamlaka ya Elimu Tanzania wakimsikiliza mgeni.
Mwanalibeneke akikatiza katika mabanda ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa wakati wa maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma iliyozinduliwa rasmi leo katika viwanja vya mnazi mmoja,jijini dar.
Banda la Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba bora na Vifaa vya Ujenzi.
Banda la Benki Kuu likiwa limesheni watu mbali mbali waliopita hapo na kutaka kufahamu mengi yanayofanywa na Benki kuu.
Banda la Tume ya Utumishi wa Umma kama linavyoonekana.
Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu likiwa limepambwa na picha za Mawaziri Wakuu waliotangulia mpaka wa sasa.
Mabanda ya Wizara ya Nishati na Madini na Wizara ya Mafunzo na Ufundi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 17, 2011

    Kumbe hata JOKA LA KIBISA (takukuru) walikuwepo? Bure kabisa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...