
Mshiriki wa Big Brother Amplifild alietolewa hivi karibuni,Bhoke Egina akizungumza na waandishi wa habari mapema leo asubuhi katika hoteli ya Southen Sun jijini Dar.

Meneja Mahusiano wa Kampuni ya MultChoice Tanzania,Barbara Kambogi (kushoto) akitoa muongozo kwa wanahabari waliofika leo katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Southen Sun,jijini Dar wakati wa kuzungumza na aliekuwa mwakilishi wa Big Brother,Bhoke Egina (kati) alietolewa hivi karibuni mjengoni humo.kulia ni Meneja Masoko wa MultChoice Tanzania,Furaha Samalu.



Audhubillah
ReplyDeleteThanks Michuzi for not showing the video, your blog in my house is visited by young daughters, mainly to learn Swahili.They would have been shocked. It would have damaged irreparably your reputation and contaminated irrevocably the blog.It is pure x-rated porno
Ankal sauti hamna katika video clip
ReplyDeleteHuyu mwanamke mpuuzi sana! eti hakwenda kuwakilisha Tanzania! kumbe alichaguliwa kutokana na nchi gani? mpuuzi kabisa huyu! ametia aibu kubwa sana! yaani kama ingekuwa mtu mwengine angeona aibu kabisa kujileta hapo! kitendo alichofanya inanifanya niamini kuwa huyu huenda ANACHEZA HATA PICHA ZA NGONO HUYU mwanamkeq! halafu anasema eti yalotokea ni KWELI! anaona fakhari sana ! dah! michuzi hakuna kubana hii
ReplyDeleteNgoja Mi niende mwakani, ni kazi tu sio kuendekeza mapenzi! YAni tumeshaweka image kuwa Tanzania ni malavidavi tu, Richard kaharibu kwa tatiana, Mwisho nae ndo kachumbia kabisa , wewe na sijui tu kama hujaja na mimba ya shem Erenest!
ReplyDeleteMi nataka nikasafishe Image yetu imekufa sana! afu we mtoto wa kike balaa! unapewa mambo yetu yale live live na tunashuhudia!
Nimekubali upo sawa kabisa!
ovyooo.
ReplyDeletenext time waangalie washiriki ambao watakuwa wanamvuto hata kidogo, huyo Bhoke na Lotus, tulijua tu watatoka katika hatua za awali. sababu hata wapiga kura nao wanaangalia na mvuto wa mtu, sababu hayo ni mashindano ni kama umiss tu. mtu akiwa na mvuto watu wengi pia wanavutiwa nae. vijana wa kiume walioshiriki walikuwa mahendsome, watu wengi walivutiwa nao na walifanya vizuri sana. Elizabet kidogo alikuwa na mvuto, ila hawa wa mwaka huuu balaa mpaka uvivu kuangalia BBA
ReplyDeletekwa hiyo alijiwakilisha mwenyewe na si tz, bado ni aibu kwake watoto huangalia big brother, ukiona washindwa kujizuia na kufanya hayo uliofanya ukijua unaonekana na bado unaendelea ujue tafuta dakitari wa akili, hata wanyama wana staa
ReplyDeleteHI KAKA MICHUZI,
ReplyDeleteAISEE HUYU DADA BORA KAREJEA TANZANIA, YAANI KWAKWELI ILI SHINDANO SIDHANI KAMA LINAKWENDANA NA UTAMADUNI WA MUAFRICA HUSUSAN SISI WATANZANIA. JAMANI MULTI CHOICE TANZANIA EMBU MUWAPE ELIMU WATU WANAOTAKA KWENDA KULE ILI WASITUHARIBIE SIFA ZA NCHI YETU, YAANI LEO HII BHOKE MSICHANA WA KITANZANIA TENA MKULYA MWENZANGU ANAWEZA KUFANYA MAPENZI HADHARANI KISA ETI APATE PESA?, HIVI SISI KAKA ZAKE DADA ZAKE NA HATA IKITOKEA AKAJAZAA NA WATOTO WAKE WAKAONA CLIPS ZA MAMA YAO ANAFANYA MAPENZI ATAONEKANAJE MBELE YA JAMII?, JAMANI MBONA SASA ILI SUHALA LIMEKUWA NI TETE KISA ETI PESA, NADHANI SASA IFIKE HATUA HATA SERIKALI IINGILIE KATI MASHINDANO KAMA HAYA, NA ILI KUDHIHIRISHA NINAYOYASEMA MTU AFUNGUE YOUTUBE WEBSITE NA KISHA ATAFUTE "BIG BROTHER AFRICA AMPLIFIED: ERNEST AND BHOKE SEX FULL", HIVI MULTI CHOICE KAMA ILI SHINDANO SIO LA KUDHALILISHA KULIKUWA NA MAANA GANI HIYO CLIP KUWEKWA KWENYE YOUTUBE ILI KILA MTU AIONE, NA MPAKA LEO IMESHAANGALIWA NA ZAIDI WA WATU 50,000, NADHANI NDIO MAANA BHOKE AMETOLEWA KWANI HAKUNA MSHIRIKI YEYOTE MPAKA LEO ALIYEFANYA MAPENZI LIVE KWANI CLIP YAKE INGESHAONYESHWA. HV JAMANI ALIYETUAMBIA BILA KUJIDHALILISHA KWA KUFANYA MAPENZI HATUTOSHINDA NI NANI?.
MIMI YANGU NI HAYO TU, ILA BHOKE IANGALIE TENA HIYO CLIP KISHA UJIVUE GAMBA, NA TAFADHARI SANA KAKA MICHUZI TENA CHONDE CHONDE USIIWEKE KAPUNI HII E MAIL YANGU ILI LIWE FUNDISHO KWA WATANZANIA WENGINE WANAOSHABIKIA MAMBO HAYA KWANI KWA KUIWEKA WAZI ITASAIDIA KUKIOKOA IKI KIZAZI KINACHOHARIBIKA SIKU BAADA YA SIKU
MUDDY NICE
Ankal vp bwana.Hatuna shida yakumuona huyo kicheche.Hana hata lakusema anababaika tu. Me nadhan watu wengine kabla yakuwapa nafasi zakuongea kny camera kwanza muwainterview privately then km vipi msituoneshe ujinga wao.Huyu demu hana maana hata kdg.Lkn kwa masikitiko makubwa jamii ndo inawathamini watu wapuuzi km hao siku hizi na kila anachofanya kinaandikwa ahata akijamba.Ankal usituwekee huu upuuzi tafadhali.
ReplyDeletemsichanganye tanzania na bhoke...wewe dada kama ungeshinda si ungesema umeenda umeiweka tanzania kwenye ramani au?umeona mambo yamekuwa mabaya na mwenzako ernest kwa uchafu mlioufanya...unatuambia nini sasa...toa upuuzi wako hapa.
ReplyDeleteNadhani kama angeweza kuwa jasiri,namuomba ajitoe pale EA TV,ametutia aibu sana! Big Brother sio mahali pa kwenda kuonesha ujuzi wa Kufanya mapenzi,shame on you Girl!
ReplyDeleteHata hivyo dada mwenyewe anaonekana fyatu. Sijui nani aliyemchangua. Huenda aliwahi kufanya ile kazi ya kukesha pale makaburini K'ndoni.
ReplyDeletenikiwa mwanamke wa ki tz huyu dada ametudhalilisha,kama anaona alichofanya ni sifa aende wizara ya watoto, kina mama na jamii kufundisha kuihusu maadili ya mwanamke hasa mtz, multi choice hawakutakiwa kumfagilia kwa kusema kawakilishsha vizuri hadi alipotolewa kwa kura, huyu dadaashitakiwe kutudhalilisha wanawake. mwandishi hukutoa clip kwa kuwa uliona si busara watoto kuona ila inaonekana sehemu nyingine, kwa mwanamke kujidhalilisha kwa ajil8i ya kupata pesa ni utumwa, alieonekana ktkt clip ni mtz na ugandan, SHAME ON U BHOKE
ReplyDeleteWewe meneja mahusiano wa Maliti-Choise unasema ametuwakilisha vizuri kina nani? maana na yeye anapinga kumwakilisha mtu, sasa mbona mnapigana makonde wenyewe. Ina-onekana uelewa ama umakini wako mdogo katika kazi yako. Iwe alituwkilisha ama la usingetumia eti amewakilisha vyema...kuna mtanzania atakuelewa unachoongea? Unatafakani cha kuongea kabla ujakwenda kwenye press conference, unaaibisha taaluma yako dada wewe nakunukuu "Bhoke ndo akawa amebaki ndani ya nyumba na ameendelea vizuri ametuwakilisha vizuri," nani kamwambia!
ReplyDeleteHahaha msimlaumu, yeye amefata $100000. Na angepata hiyo pesa asingelikujueni. Akili yake imempa akifanya hayo aliyofanya angeshinda. Lakini kashindwa, alifanya mahesabu yake sivyo, waafrika hana utamaduni wa kuonyesha mapenzi hadharani. Hii ni funzo kwa vijana wote kuwa mapenzi yanakuwa faraha kwa watu wawili wapendanao. Huo ndio utamaduni wetu wa kiafrika na sio ushamba.
ReplyDeleteYanawahusu nini ya huyo demu?Kwani angeshinda angewagawia kitita chake?
ReplyDeleteMnaomuwangia na matusi wote hamna hoja za msingi.Hayo aliyofanya ni yake binafsi na hakuomba ruhusa kwa mtu yeyote.Kufanya kwa siri ndiyo nini?unayemuogopa ni nani hasa?Mwanadamu au Mungu?maana hata angefanya chumbani kwa siri bado kosa ni kosa.Ndiyo maana watanzania tunajidanganya kuwa tuko weupe kwa jamii kumbe tumetia unajisi sura ya Mungu.Ukimwi unazidi kuenea kwa kufanya mapenzi kwa kujificha tukidhani tunaokoa kitu kumbe ndo tunajichimbia shimo refu la kujitumbukiza wenyewe.Leo tunamshikia bango huyu mdada kama vile kawaibia waume/wake au wapenzi wenu.Koma kabisa kunyoshea vidole wengine wakati ninyi wenyewe mna machafu tele
If she thinks there is nothing to be ashamed of, then put her live on the stage, and we will gather around to watch the performance, clap cheer and applaud...encore,encore,baby one more time.
ReplyDeletePS no duvet this time
Wakatabahu
UKIWA KICHWA HATA BILA YA KUFANYA VITENDO VICHAFU UTAPIGIWA KURA ZA KUBAKI NDANI YA NYUMBA NA HATA KUWA LAST MAN STANDING NA KUONDOKA NA KITITA CHA PESA MFANO MZURI KWA WALE WAFUATILIAJI WA BBA KAMA MNAKUMBUKA SEASON ONE PESA ALICHUKUA MZAMBIA YULE DADA WA KUITWA CHERIS NA TABIA YAKE ILIKUWA NZURI HAKUFANYA VITENDO VYOVYOTE VYA NGONO AU UCHAFU WA AINA HIYO.
ReplyDeleteKWAKO MUDDY NICE LABDA WEWE SIYO MFUATILIAJI WA BBA POINT OF CORRECTION....BHOKE SIYO MSHIRIKI WA KWANZA KUFANYA MAPENZI LAIVU NDANI YA BBA KWA KUKUSAIDIA LABDA ULISAHAU SEASON 1,YULE MSHIRIKI KUTOKA UGANDA(JINA KAPUNI)SABABU AMESHAKUWA CELEBRITY NAOGOPA KUTAJA JINA LAKE POST YANGU ISIJEWEKWA KAPUNI ALISHAWAHI KUFANYA NA YULE MSAUZI ABBY.
SEASON 3 MUNYA KUTOKA ZIMBABWE ALIFANYA MAPENZI LAIVU NA TAWANA KUTOKA BOTSWANA.SITETEI KITENDO ALICHOFANYA BHOKE ILA NILITAKA TUWEKANE SAWA KIDOGO KWAMBA WAPO WASHIRIKI WALIOWAHI KUFANYA HUO UPUUZI KABLA YAKE(BHOKE)NA YEYE AMESHAINGIA KWENYE REKODI.
NA KWA WALE WADAU WANAOFIKIRI MVUTO NDIYO SABABU MNAKUMBUKA SEASON 3 MSHIRIKI WETU ALIKUWA LATOYA(ALIKUWA ANAO MVUTO) NA YEYE NDIYO ALIKUWA WA KWANZA KUAGA MASHINDANO(EVICTED)UKILINGANISHA NA TAWANA(MSHIRIKI KUTOKA BOTSWANA)HAKUWA NA MVUTO ILA ALIKUWA MSHINDI WA TATU YAANI WA KWANZA ALIYECHUKUA PESA ALIKUWA RICCO(MUANGOLA)WA PILI MUNYA(ZIMBABWE)WA TATU TAWANA(BOTSWANA).KWAHIYO MVUTO SIYO ISHU KICHWA NDIYO KINACHOTAKIWA.
NAMALIZIA TENA NA WEWE MUDDY NICE BHOKE HAKUTOLEWA SABABU YA HIYO CLIP UNAYOSEMA KUMBUKA KUWA KURA KWA KAWAIDA HUWA ZINAFUNGWA SAA 12 ASUBUHI SIKU YA JUMAPILI KWAHIYO KUANZIA JUMATATU USIKU HADI SIKU AMBAYO BHOKE ANAFANYA TUKIO NA ERNEST KAMA KURA WALIKUWA WASHAJIZOLEA ZA KUMWAGA NDIYO MAANA BHOKE ALIKUWA WA KWANZA KUTOKA SABABU KAPATA KURA CHACHE KUTOKA NCHI MBILI TU YAANI TANZANIA NA ZAMBIA ALIYEFUATIA ERNEST ALIPATA KURA KUTOKA NCHI TATU NA MWENZAO ALIYOBAKIA MISS P ALIPATA KURA NYINGI KUTOKA NCHI 10.
ya leo kali sana daa kazi kweli kweli msameheni atarudia tena aejifunza
ReplyDeleteAnkal mie nna wewe na tabia yako ya kubana comment. Siku zile ulipotoa eti watanzania tumsapoti bhoke na lotus "go tanzania" go lotus, go bhoke" nikaandika hata iweje wote watatoka tu tena mapemaaaaaaaaa kwa kupenda ngono kwao then wee ukabana now kikowapi?? washatoka sasa. Haya eti mlitaka tumsapoti wakati yeye karudi anasema alienda kama bhoke na sio mtanzania. MIe huyo bhoke kanitia kichefuchefu tena na anaongea pumba hadi aibu khaaaaaaa ptuuuuuuuuuh
ReplyDeleteAmejiwakilisha yeye,familia yake na multchoice full stop. Stupid girl, unagawa gawa tu hovyo, umeambiwa hiyo ni pipi.
ReplyDeleteBhoke is a shameless slut
ReplyDeletelike seriously having sex on public?i bet you didnt even use condom you idiot....stupid stupid stupid woman
USHIRIKIANO GANI UNAOUONGELEA? KAMA VIPI UNGEWAACHIA WENGINE BASI WNYE AKILI TIMAMU, MBONA UNAJICONTRADICT? KUMBE ULIJUA KULIKUWA NA CAMERA SASA UKAONA UENDE KULA MAMBO MBELE YA CAMERA KUONYESHA AFRICA NZIMA JINSI ULIVYO KOPO? FORGET MWAKANI, ETI WATU WANENDE KUONA WENYEWE, KWA HIYO UNATAKA TANZANIA NZIMA TWENDE AMA? ACHA UJINGA WEWE UMECHEMSHA TU BASI UNGEOMBA MSAMAHA NINGEKUELEWA BUT UNAJIKURUPUSHA TU HAPO MIMI KAMA MANAMKE NAJUTA KUKUFAHAMU, KUKUANGALIA HATA KUSIKIA SAUTI YAKO KAMA VIPI HAMA NA NCHI KABISA HISTAHILI KUWA CITIZEN WA TANZANIA NEDNA KWA WAGANDA HUKO, KWANZA HUNA MVUTO WALA NINI YAANI NI MBARASMENT LOOKS MPAKA TABIA, PWE!!
ReplyDeleteKOPO KOPO KOPO, AIBU AIBU AIBU,
ReplyDeleteAibu gani kwako , familia yako na Taifa letu???? watu wanaopoangalia video yako ya ngono hawaachi kuuliza unatoka nchi gani. Wewe Bhoke utakula matunda ya matendo yako, kwa sababu dhambi hii haitaacha kukutafuna. ulishindwa nini kusubiri hadi utakapokuwa nje ya jengo. unatia aibu sana na pole sana kwa uliyoyofanya. next time fikiri kabla ya kutenda na si kutenda kabla ya kufikiri. Watu wana enjoy kukuona kwenye you tube ... shem shem shem. anyways yalishatokea jifunze na makosa. Na kwa Watanzania wengine please kuweni makini na mambo kama haya .
ReplyDeleteni heri ya changu anayejiuza usiku kuliko bhoke uliyerushwa mtandaoni kila mtu anakuona.omba radhi acha kuzungusha maneno eti hukuiwakilisha tz mbona tulikuwa tunakupigia kura?aibu zako dada
ReplyDeleteMbona hakuzungumzia kuhusu kufanya mapenzi hadharani na africa nzima ikaona toka kwenye sebule zao? Ametengeneza video ya bure ya mapenzi na watu wameona bila malipo. La pili huwezi kusema "mimi kama mimi" kwa kila unachofanya watu wanatafsiri na asili yako. HADHI YA NCHI INATOKANA NA WATU WATE, si kitu abstract. Kwa hiyo kaaibisha Tanzania. Mnaochagua muwe makini. Hivi kwa nini mnawapa majukumu ya kimataifa watu wenye upeo mdogo wa mawazo. Yaani mtu hajui kamba ukienda nje ya nchi unachofanya kinahusishwa na nchi yako yet mnampa jukumu kama hili! Hamkuona mnigeria wa mwaka jana alivyokua anatembea na bendera yao kila mara na akashinda? Watu wa nje wanasema "that Tanzanian girl" not Bhoke! Watu mnaofanya mchujo kama hamkupata the right candidate NI BORA KUACHA sababu kushiriki inakuwa ni mbaya kuliko kuacha!
ReplyDeletePAMOJA NA AWARENESS YOOOOOOTE HATA KINGA HUKUTUMIA....YA, MAANA YALE MAZINGIRA KINGA HUWEZI KUTUMIA. SASA WEWE KAMA MWANAHABARI UNAONESHA MFANO GANI KWA JAMIIII??UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUOMBA RADHI RASMI (APOLOGIZE) KWA WATANZANIA NA AFRICA NZIMA!
ReplyDeletetena wewe ungekua umefanya mara moja tungeweza kusema bahati mbaya LAKINI MARA MBILI. KWENYE SWIMMING POOL NA CHUMBANI.WHAT'S YOUR PROBLEM?
ReplyDeleteDuu watanzania mna hasira ile mbaya, mmemshambulia mno huyo dada. Mwacheni hiyo ni tabia binafsi, hajawakilisha tabia za wanawake wa tanzania,ingawa kawakilisha taifa la tanzania, jueni kutofautisha (hata yeye mwenyewe kashindwa kuelezea vizuri). kwani basi inamaana wacheza porn wote tunaoona wamewakilisha tabia za taifa lao? ama leo hii nikikutana na prostitute wa kimakua niseme wamakuwa wote malaya? hao watoto wenu wapigeni marufuku kuangalia big brother nani kawaambia ni ya watoto? multi choice ina children control thing wekeni hiyo watoto wasiangalie, msisingizie big brother ndio inaharibu tabia za watoto wenu wakati ni nyie wazazi malezi yanawashinda kwa kujifanya kuleta uzungu. Kumbukeni uangaliaji wa Tv zamani ulikuwaje, kwani wazazi wetu walikuwa wajinga ama hawatupendi? walikuwa wanajua malezi bora. Simsifii Bhoke kwa kwenda kuliwa uroda, lakini kaonyesha uhalisia wa binadamu kwamba inafika wakati inakuwa ngumu kujizuia. Wangapi mnafanya mapenzi machafu tena nyie mlioandika hizi comment humu? wangapi mnatembea na secretary zenu, binamu zenu, mnacheat wake zenu na waume zenu? lakini kwakuwa hakuna camera tukawaoana ndio mnajifanya 'vifimbo cheza' kwa kurekebisha tabia kumshutumu bhoke eti ni malaya? please people be real and stop pretending, Bhoke ni binadamu alishindwa kujizuia, huo ni udhaifu binafsi sio kila mtu yuko strong. Give the girl a break and start thinking about your own behaviours. Michuzi weka hii sijachafua hali ya hewa!
ReplyDeleteYes hakuwakilsha tanzania, anaepinga hilo na atwambie ni lini au vipi watanzania walimchagua kwenda kushiriki katika BB? Afadhali hata wale ma miss nini na nini wanapewa voti na baadhi ya watanzania. Aibu kajitia mwenyewe na familia yake, mimi kama mtanzania hajaninitia aibu simjui hanijui.
ReplyDeleteI cannot believe huyu Bhoke amesema hakuwa anaiwakilisha TZ alipoenda BBA. sasa hao Multichoice wakipeleka watu huwa wanaomba tuwapigie kura kama individuals au kama watanzania?? tunaomba majibu na pia huyo Bhoke atuombe msamaha watanzania kwa kutudhalilisha kule kwenye jumba na pia kutudharau wakati sisi ndo tulikua tunapiga kura ili abaki mule ndani..
ReplyDeleteHao M/Choice ndio wakwanza kushabikia ngono, eti amewakilisha vizuri. kamwakilisha nani kwa aibu aliyoifanya kuchakachuliwa hadharani?. Bhoke mchakachuo ulioufanya ni aibu tosha kwako na familia yako. umewatia aibu kina dada wote wakibongo na kuwafananisha na maharage ya mbeya maji mara moja. shame on you.
ReplyDeleteMboa umetuaibisha wewe Bhoke. Nchakutemaa kaisiki. Mnaosema hamejiwakilisha mwenyewe tembeleeni blogu za jamii za waafrica kama waghana; gumzo ni sisi na umalaya kwa sababu yake. Wanasema ndio maana Tz ukimwi unashika kasi. yaani Bhoke kawa sample. Huyu dada sikutegemea kabisa. Na uzee wote huo bado unaendekeza chini.
ReplyDeleteMmmmmmmmmhhhhh ... wabongo!! Kazi kweli kweli ...
ReplyDeleteWatanzania tuache unafiki!Mwisho Mwampamba alikuwa anafanya mapenzi ndani ya hilo jumba la Big Brother mara kibao ila naona halikuwa tatizo kubwa sana lakini kitendo cha Bhoke kufanya kitu kile kile kimeonekana ni kichafu sana.Nia yangu si kumtetea Bhoke ila tuache kuhukumu tu!
ReplyDeleteRichard na mwisho mpaka sasa hivi wanashikilia record ya kungonoka ndani ya jumba. Bhoke alijitahidi sema yeye hakuwa mtu mzuri kwa mambo ya BBA. Pole Bhoke, ushauri wangu acha pombe, huziwezi. Kwa sababu ilikuwa ukipiga bia moja tu basi unaanza upuuzi.
ReplyDeletena nyie claus mnajifanya kumpigia simu na kumpa hongera? kweli???? Dina marius hebu muiteni kwenye leo tena mumchambe
ReplyDeleteLets be serious and realistic bwana, alichofanya Bhoke kilifanywa pia na Mwisho, na hamkubeza hivi. kwanini? Sababu ni mwanamke. She is also a human being, anahisia na matamanio. She is brave, kaonyesha hisia zake wazi na yupo sure na anachokitaka. Wabongo bwana!!!!!
ReplyDeleteTOA BORITI NDANI YA JICHO LAKO KABLA YA KUONA KIBANZI KWENYE JICHO LA MWENZAKO.
ReplyDeleteKUNA MASUALA MENGI YA KUJADILI KWA SASA KAMA BAJETI YETU, ACHENI MAMBO BINAFSI YANAYOHUSU MTU MMOJA.
Acheni kila mtu na maisha yake wanaposema BBA strictly 18 unafikiri wanamaanisha nn.Kuna kitu alichofanya ambacho binadamu over 18 hamfanyi?Ambae anajiona yeye ni mtu safi amfuate na kumfanya chochote anachoona Bhoke anastaili kwa alichofanya.Km mngekua wasafi msingebother hata kuangalia what is happening on BBA.Mmezoea kuponda tu wakati ukijitathmini mwenyewe hauna different nayeye.Alipoharibu Mwisho na Richard mliona sawa sasa msichana ooh wasichana ovyo..Lets give her a break jamani lol
ReplyDeletewatu mnachonga kha! hivi mnakumbuka katika biblia wakati yule mwanamama anapigwa mawe Yesu alisemaje? Haya sasa ambae hajawahi kufanya hii dhambi na amtupie maneno...kha! watu utadhani hamna vya kujadili....courtiiiii ,anzani kujadili bajeti sasa
ReplyDeleteNi mwendawazimu peke yake ambaye anaweza kutetea kitendo alichokifanya Bhoke,mi nilitarajia kauli yake ya kwanza ingekuwa ni kuwaomba radhi Watanzania kwa kitendo alichokifanya na si kusema eti alikwenda Mjengoni kwa juhudi zake binafsi, UPUUZI, ndio hata kama alikwenda kwa juhudi zake binafsi alikwenda kumwakilisha nani..??,
ReplyDeleteUsiniambie kuhusu Richard alifanya upuuzi nakubali... lakini ni watanzania wangapi walikuwa wanamjua Richard kabla ya BBA...??, na leo hii ni Watanzania, Wakenya,na Waganda wangapi walikuwa wanamjua Bhoke kabla ya BBA..??,tutaandika maneno mengi sana na hata wengine wataandika matusi hapa,.lakini mtu pekee anayeweza kumaliza hasira za Watanzania ni Bhoke mwenyewe.na kitu kinachomtafuna zaidi Bhoke ni Umaharufu na matarajio ya Watanzania waliyokuwa nayo juu yake.
Mimi ushauri wangu kwa Bhoke hakuna namna ya kutuliza hasira za watanzania walio wengi jishushe na KUOMBA MSAMAHA kwa yaliyotokea.
yaani wanawake kila siku wanasema wanataka maendeleo na kupunguza manyanyaso kutoka kwa wanaume lakini ni wazi kwamba wanawake wenyewe ndio wanaendeleza manyanyaso yao. Ni wanawake tu ndio wamekazana kumhukumu bhoke eti dina marius akamchambe, jianze kujichamba wewe hapo na matendo yako nani atuambie kama yuko 100% clean. Waliyofanya Richard na Mwisho hayana tofauti, lakini waliporudi mliwashangilia kama mandela vile. Shame on you women and men who condemn her. Nendeni nyie big brother mkatuonyeshe tabia nzuri, na kama hamuwezi kaeni kimya, na muache kuangalia kwani lazima muangalie? khaaaaa
ReplyDeleteLakini mimi sikuona Mwisho na Richard wakifanya ngono BBA. Naomba kama kuna aliyerekodi yale mashinadano atuwekee hizo ngono za Richard na Mwisho. Kina dada hupenda kutumia visingizio ili kuhalalisha uchafu wao.
ReplyDeleteNext time nawaombeni mpeleke watu wakatuwakilishe ki ukweli, sasa kama huyu hajui baya na zuri kulikuwa na haja gani hata ya kum interview? mngeifanya private tu tena hata kuomba msamaha hajui?
ReplyDeleteAu aliingia bigbrother na ukame?
ukweli uko palepale shame on you Bhoke, what u did is not a good picture even to your family.
ila i hope ni tabia yako.
umetuabisha Bhoke, Big brother walikuwa wanawatafutia sababu tu na mkapatikana, watu bwali comment sana for what you did, hata kutolewa hukutolewa ki heshima, BHOKE LEAVE THE BIG BROTHER HOUSE.Ukweli ndio huo hata ukijifanya hujali.
kwanza kabisa akisema ameenda yeye kama yeye kwanini multchoice walisema tumpigie kura. kwakweli ni aibu aliyoifanya hata wanaosema kuwa eti mwisho na richard walifanya, wajaribu kutofautisha mwanamke na mwanaume, mwanamme akifanya lile tendo sio aibu kama kwa mwanamke, ukiangalia blog za wenzetu wala ernest hashambuliwi ni bhoke tu. nyie mnaomtetea kwanini nyinyi kama nyinyi hamfanyi mapenzi nje ya nyumba zenu kama ni kitu kizuri. Hata paka ambaye hana utashi anafanya mapenzi kwa faragha wachache sana wamemuona paka akifanya mapenzi. bajet hata ukiijadili ilishapitishwa tunasubiri utelelezaji tu haitasaidia. Tunatakiwa kuongelea hili jambo ili siku nyingine akienda mtu asitie aibu taifa letu yeye ndio wa kujadili kwa sasa cos blog za wenzetu yeye ndio main character. bhoke umetia aibu omba msamaha kwa watanzania. Hivi kwenye vipindi ambavyo utakuwa unaviendesha utazungumzia nini ili watu waelewe baada ya clip zako kuonekana dunia nzima. Wanaosema ni mambo yako binafsi usingefanya kwenye camera ungejificha ingekuwa binafsi. shame on you!
ReplyDeletebhoke umejirahisisha sana kwa huyo mganda. najua BBA walikupa rules kuwa lazima utarekodiwa kila ufanyalo hata kama ni Ngono Zembe hadharani. pia ulijua kwamba dunia yote itawatch upuuzi wako.siamini kama msichana unaweza kujirahisisha bure hadharani kiasi hicho!aibu yako itakutafuna daima. ulionekana kabisa tangu kwenye Jacuzi wewe ndiye ulikuwa unachokoza ngono. kijana wa watu hakuwa na ajizi akaamua akushghulikie. leo hii wewe binti ndio umebaki na aibu yeye ernest anapeta kule kwao Ug wanampongeza.ah nakupa pole hakika umechakachuliwa mbele ya jamii ya kiafrika.
ReplyDeletenapenda niende kidini zaidi
ReplyDeletehii iende kwa bhoke;wewe ni kama dada yng umeniumiza na kile ulichokifanya kwnz ni kwasababu umefanya uliyoyafanya nje ya ndoa na hii ni zinaa muombe mwenyezi mungu msamaha kwn ni kosa kati ya makosa makubwa ambayo ameyakataza am sure ukijirudi na ukayafanya haya wallahi mungu atakusamehe
kwa watanzania wote:ukitaka kutoa aibu ya mwenzako itoe kwanza ya kwako..msipende kumjaji mtu wakati nyie mna mapungufu.ni mwenyezi mungu pekeee ndiye atakayemhukumu kwa kosa lake.jmn tuangalie ya mbele sasa
anonymous