Afisa Udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude akimkabidhi mshindi wa Vodacom miss kurasini Mwajabu Juma kiasi cha fedha taslimu cha shilingi 500,000,shindano hilo lilifanyika Jijini Dares Salaam.
Vodacom Miss Kurasini Mwajabu Juma akipunga mkono mara baada ya kutangazwa mshindi ,kushoto mshindi wa pili Naifat Ally na mshindi wa tatu kulia Prisca Steven.
Warembo tano bora waliofanyikiwa kuingia katika shindano la kumtafuta Vodacom Miss kurasini ambapo Mwajabu Juma(9)ndiye alienyakua taji hi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...