Afisa Udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude akimkabidhi mshindi wa Vodacom miss kurasini Mwajabu Juma kiasi cha fedha taslimu cha shilingi 500,000,shindano hilo lilifanyika Jijini Dares Salaam.
Home
Unlabelled
Mwajabu Juma ndiye miss Kurasini 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...