Bro Issa Assalam aleykum,
Naomba msaada tutani, nauza hili ndinga langu nina shida nauguliwa na ndugu yangu nataka kumsafirisha nje akatibiwe na hela sina hivyo kimfaacho mtu chake...
 
Gari lipo Arusha katika hali nzuri sana, limeingizwa Tanzania kutoka Dubai mwezi February 2011 na limelipiwa kodi zote, lina comprehensive insurance na matairi ni mapya kabisa. Kwa kujua bei na kuliona wasiliana na:
Stephen 0784670770.
 Ahsante bro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 19, 2011

    WEKA BEI UBAONI EBO?!!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 19, 2011

    tuwasiliane email kikaputula@yahoo.com

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 19, 2011

    Muuzaji wewe kweli?,
    Mbona taarifa nyingi muhimu hakuna?, katika sheria za biashara kuna kitu kinaitwa "Invitation to treat", wewe hukufanya hiki. Weka asking price, limesajiliwa dubai mwaka gani?, limeingia Tanzania likiwa na mileage gani?, je kuna service history?, Limelipiwa ushuru? , maana linaonekana kama lipo port, japo kwa arusha yaweza kuwa Namanga. Then utapa offer siyo unaweka habari za juu juu tu watu wanataka wakitumia credit zao kukupigia simu wanakuwa tayari na pre- information siyo tena kuanza kupata blah blah!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 19, 2011

    Haswa, weka bei ya kuanzia ili tujikadirie kama ni maelewano tutaishia wapi

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 19, 2011

    Nyinyi watoa maoni akili zenu ziko kama mfuko wa Rambo
    Si wanunuzi wala nini mtu anauza chake na kaweka cont zake
    pigeni simu kama wanunuzi
    Mdau mitaa ya Kwegukwazi

    ReplyDelete
  6. Tumpe nafasi aseme bei na mwaka fasta

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 19, 2011

    Wabongo bwana kelele wengi mnaosema aweke "bei" hamna hata uwezo wa kununua godoro. Kama mnahitaji kujua ni kiasi gani si mpige simu.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 20, 2011

    Mimi naona uandike haliuzwi.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 20, 2011

    Watoa maoni hapa kama wapenzi wa Simba! Mpira Midomoni!

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 20, 2011

    Gari linafaa sana kwa masubcontractor wa makampuni ya simu kwa kuendea kwenye minara yao aka site aka BTS.....Pigeni simu wanunuzi namba c hizo hapo kaweka? au ndo lazima ukoment?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...