Miss Dar Inter College 2011,Rose Msuya akiwa katika pozz mara baara ya kunyakua taji hilo usiku huu katika ukumbi wa Sun Cirro,Sinza jijini Dar.
 Miss Dar Inter College,Rose Msuya akiwa katika picha ya pamoja na Mshindi wa Pili,Bressiny Ngowi (shoto) na Mshindi wa watatu,Glory Peter.
 Afisa Huduma na Bidhaa wa Vodacom Tanzania,Elihuruma Ngowi akikabidhi zawadi kwa Miss Vodacom Dar Inter College 2011,Rose Msuya kutoka Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) usiku huu katika ukumbi wa Sun Cirro,Sinza jijini Dar.
 Tano Bora.
 Washiriki wote jukwaani.

KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2011

    ifm wapo juu xana, daaaah... Watoto woooote wazuri ndo wanatoka paleee eeh?!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 20, 2011

    Jamani namba tatu ndo anatakiwa achukue taji coz ana shape ya kimiss kuliko wote...

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 21, 2011

    wewe unasema namba tatu unaonekana unapenda sana vimatako vimatako kidogo tu vimeonekana basi ukajua ndiye anafaa kuwa miss la hasha wakwetu kuna vigezo vingi pamoja uwelewa mpaka hapo umenielewa au bado wakwetu safari ni9 mbali au sio

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...