Kocha Abdallah 'King' Kibaden akigawa viatu kwa mchezaji  katika uwanja wa TCC Chang'ombe jijini Dar es Salaam leo asubuhi  wakijifua kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya DC Motema Pembe utakaofanyika siku ya  Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam 
 Sala kabla na baada ya tizi
  Juu na chini wachezaji wa Simba wakijifua katikla uwanja wa TCC Chang'ombe jijini Dar es Salaam leo asubuhi 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...