Mkurugenzi wa Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF),Prof. Martin Mhando (kushoto) akizungumza na kutoa ufafanuzi wa filamu ya BIGGIE and Tupac iliyotengenezwa na Nick Broomfield (kulia) ambayo moja kati ya filamu nyingi zenye mvuto na msisimko kwa watazamaji ambazo zinaendelea kuonyeshwa katika Tamasha hilo,Ngome Kongwe Zanzibar.
Kikundi cha Kucheza cha B. Six kutoka visiwani Zanzibar kikitoa burudani safi kwa wageni mbali mbali waliohudhulia Ngome Kongwe kufatilia Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar kikitoa burudani safi kabisa.
Kundi la Muziki wa Kizazi kipya la Off-Side Trick likiimba moja ya nyimbo zao.
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva,Juma Mataluma akilishambulia jukwaa sambamba na mmoja wa mashabiki aliepanda jukwaani kuonyesha umahiri wake wakati akitumbuiza pamoja na Bend ya T.H.T.

Kwa picha zaidi,Tembelea Libeneke la Mtaa kwa Mtaa 





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...