Afisa Uhusiano wa Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Jackson Mmbando akiwa na wanafunzi wa shule ya Msingi ya Misewe ya Ilala jijini Dar es Salaam mara baada ya kampuni hiyo kwa kushirikian na Club ya Rotary North ya Dar es Salaam kukabidhi madawati 1000 ya mapajani (lapdesks) na viti 1000 kwa shule hiyo.
Home
Unlabelled
Tigo wamwaga madawati na viti shule ya misewe, Dar es salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...