Afisa Uhusiano wa Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Jackson Mmbando akiwa na wanafunzi wa shule ya Msingi ya Misewe ya Ilala jijini Dar es Salaam mara baada ya kampuni hiyo kwa kushirikian na Club ya Rotary North ya Dar es Salaam kukabidhi madawati 1000 ya mapajani (lapdesks) na viti 1000 kwa shule hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...