Mama wa Mitindo  Asia Idarous-Khamsin  wa Fabak Fasion akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na onyesho lake la mavazi ambalo ameshirikiana na na The Kilimanjaro Band (Njenje) liitwalo Usiku Wa Khanga Za Kale 2011 linalotarajiwa kufanyika June 25, 2011 katika ukumbi wa wa Salender Bridge Club jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni mbunifu wa mavazi Gabriel Mollel ambaye ameungana nae na kushoto ni mdhamini Bw. Thomas Kisura wa kampuni ya Vacation Afrika kutoka Marekani.
Mama wa Mitindo  Asia Idarous-Khamsin wa Fabak Fasion akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na onyesho lake la mavazi ambalo ameshirikiana na na 'The Kilimanjaro Band' (Njenje) liitwalo Usiku Wa Khanga Za Kale 2011 linalotarajiwa kufanyika June 25, 2011 katika ukumbi wa wa Salender Bridge Club jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Levis Paul kutoka kampuni ya Vacation Afrika, mbunifu wa mavazi Hiyari Maneno, mbunifu wa mavazi Gymkana Halali, Gabriel Mollel, Thomas Kisura pamoja na mbunifu wa mavazi Royal Mosses kutoka nchini Nigeria.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...