Msanii wa muziki wa kizazi kipya, ambaye ni kinara wa mashindano ya Tuzo ya Kilimanjaro ya Mwanamuzki Bora wa Tanzania 2011, 20 Percent akionesha umahiri wake wakati wanamuziki bora wa tuzo hiyo walipokuwa wakifanya shoo ya kuwashukuru wakazi wa Mbeya kwa kuwachagua. Shoo hiyo AMBAYO IMEDHAMINIWA NA Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ilifanyika leo kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.

Msanii JCB akiuteka umata wa wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wakati wa shoo ya washindi wa Tuzo ya Muziki ya Kilimanjaro 2011, kuwashukuru wakazi wa Mbeya kwa kuwachagua. Shoo hiyo ambayo imedhaminiwa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ilifanyika leo kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.

Msanii GodZila akipanda jukwaani huku akishangiliwa na wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wakati wa wakati wa shoo ya washindi wa Tuzo ya Muziki ya Kilimanjaro 2011,kuwashukuru wakazi wa Mbeya kwa kuwachagua. Shoo hiyo ambayo imedhaminiwa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ilifanyika leo kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.

Msanii Mwasiti Almasi akicheza muziki wake na mmoja wa mashabiki wa muziki wa kizazi kipya wakati wa shoo ya washindi wa Tuzo ya Muziki ya Kilimanjaro 2011, kuwashukuru wakazi wa Mbeya kwa kuwachagua. Shoo hiyo ambayo imedhaminiwa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ilifanyika leo kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.

Wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wakiwa wamepagawa wakati Msanii God Zila akimwaga misitariwakati wa shoo ya washindi wa Tuzo ya Muziki ya Kilimanjaro 2011,kuwashukuru wakazi wa Mbeya kwa kuwachagua. Shoo hiyo ambayo imedhaminiwa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ilifanyika leo kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...