Mbunge wa Jimbo la Ubungo,Mh. John Mnyika akizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi nje ya kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar wakiwa wakifatilia hatma ya kukamatwa kwa Mwenyekiti cha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Mh. Freeman Mbowe.
Mbunge wa Jimbo la Ubungo,Mh. John Mnyika akiongozana na Prof. Abdallah Safari pamoja na mjumbe wa CHADEMA wakiwa nje ya kituo kikuu cha Polisi jijini Dar leo kufuatilia hatma ya Mwenyekiti wao,Mh. Freeman Mbowe anaeshikiliwa na Jeshi la Polisi hivi sasa.
Ulinzi mkali katika kituo kikuu cha Polisi Dar es salaam leo,alikoshikiliwa kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Mh. Freeman Mbowe.
mungu wangu! akina ras makunja nao wapo na magitaa yao,tayari tayari kuanza mziki??????
ReplyDeleteMie kama wamemkamata bila ya makosa basi ni dhambi kubwa ila kama kafanya kosa basi kukamatwa ndio inavyotakiwa kwasababu yeye ni mmoja ambae anaezitunga hizo sheria ikisha avunje sheria ya kutoenda mahakamani au hata kumpeleka mdhamini wake ni vibaya kwasababu yeye ndio kiongozi anatakiwa awe mfano mzuri kwa wananchi hiyo kwa kiswahili sahihi ni dharau. Hukumu ndio haki yake na lakini isiwe kwa Chadema tu hii adhabu iwe kwa mtu yoyote bila ya kuangaliwa usoni ndio hapo maendeleo yatakapopatikana i wish nije kuwa kiongozi wa hii nchi manaake kuna watu wanajifanya hii nchi kama yao kwahivyo hata wakifanya kosa wanakuwa untouchable. I WISH
ReplyDeleteMdau
Polisi acheni kuwanyanyasa wapinzani.
ReplyDeleteJustice shall be done
ReplyDeleteSheria ifanye kazi yake na tumwogope Mungu kutekeleza hili kwa manufaa ya nchi
ReplyDelete