Vodacom Miss Chang’ombe Cynthia Kimasha katikati akiwa na mshindi wa pili Husna Twalbu(kushoto) na mshindi watatu Joyce Maweda kwenye shindano hilo lililofanyika kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares Salaam.
Warembo tano bora waliotinga katika kinyanganyiro cha Vodacom Miss Chang’ombe,shindanohilo lilifanyika hapo jana katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares Salaam.
Mrembo Ummy Mohamed aliyeshiriki katika shindano laVodacom Miss Chang’ombe akipita jukwani na vazi la jioni, shindanohilo lilifanyika hapo jana katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares salaam.
Mtaalam wa mambo ya habari wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu kushoto,Mdau wa mambo ya urembo Rachel Sindbird,Rahma Kaude na Afisa udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude wakifatilia shindano la Vodacom Miss Chang’ombe hapo jana ambapo Cynthia Kimasha alinyakua taji hilo,shindano hilo lilifanyika katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares Salaam.
Wadau wakiwa kwenye shindanohilo lililofanyika kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares Salaam.
Warembo tano bora waliotinga katika kinyanganyiro cha Vodacom Miss Chang’ombe,shindano
Mrembo Ummy Mohamed aliyeshiriki katika shindano laVodacom Miss Chang’ombe akipita jukwani na vazi la jioni, shindano
Mtaalam wa mambo ya habari wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu kushoto,Mdau wa mambo ya urembo Rachel Sindbird,Rahma Kaude na Afisa udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude wakifatilia shindano la Vodacom Miss Chang’ombe hapo jana ambapo Cynthia Kimasha alinyakua taji hilo,shindano hilo lilifanyika katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares Salaam.
Wadau wakiwa kwenye shindano
kakak hapo kwa Wadau tu hapo ndo me umenigusa sana hapo!
ReplyDeleteSafi sana Kaka.