Vodacom Miss Chang’ombe Cynthia Kimasha katikati akiwa na mshindi wa pili Husna Twalbu(kushoto) na mshindi watatu Joyce Maweda kwenye shindano hilo lililofanyika kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares Salaam.
 Warembo tano bora waliotinga katika kinyanganyiro cha Vodacom Miss Chang’ombe,shindano hilo lilifanyika hapo jana katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares Salaam.
 Mrembo Ummy Mohamed aliyeshiriki katika shindano laVodacom Miss Chang’ombe akipita jukwani na vazi la jioni, shindano hilo lilifanyika hapo jana katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares salaam.
 Mtaalam wa mambo ya habari wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu kushoto,Mdau wa mambo ya urembo Rachel Sindbird,Rahma Kaude na Afisa udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude wakifatilia shindano la Vodacom Miss Chang’ombe hapo jana ambapo Cynthia Kimasha alinyakua taji hilo,shindano hilo lilifanyika katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares Salaam.
Wadau wakiwa  kwenye shindano hilo lililofanyika kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dares Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. kakak hapo kwa Wadau tu hapo ndo me umenigusa sana hapo!

    Safi sana Kaka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...