Waziri Mkuu wa Tanzania,Mhe. Mizengo Pinda akiwa kwenye picha ya pamoja nje ya viwanja vya Bunge na wanafunzi wa Chuo cha Ushirka na Biashara Moshi (MUCCOBS) ambao walifika Dodoma kutembelea Bunge wakati wa kusomwa kwa Bajeti 2011/2012 . Kutoka kulia ni Waziri Katiba na Sheria Bw. Rapheel Maghoa ,Pete Mushi (Naibu Spika) ,Marry -(Katibu wa Bunge) na Kutoka kushoto ni Aderson Rwela (Waziri mkuu) na Rogati Timanywa (Spika) -Picha na Nicholaus Mmbaga -PMO
Waziri Mkuu wa Tanzania,Mhe. Mizengo Pinda akiwa kwenye picha ya pamoja nje ya viwanja vya Bunge na wanafunzi wa Chuo cha Ushirka na Biashara Moshi (MUCCOBS) ambao walifika Dodoma kutembelea Bunge wakati wa kusomwa kwa Bajeti 2011/2012 . Kutoka kulia ni Waziri Katiba na Sheria Bw. Rapheel Maghoa ,Pete Mushi (Naibu Spika) ,Marry -(Katibu wa Bunge) na Kutoka kushoto ni Aderson Rwela (Waziri mkuu) na Rogati Timanywa (Spika) -Picha na Nicholaus Mmbaga -PMO

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...