Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Cleopa David Msuya, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernand Membe wakiwa na waomolezaji wengine katika kuaga miili wa Marehemu Sekou Toure Mndeme, aliyekuwa Mkurugenzi wa CRDB tawi la Lumumba aliyefariki huko India Julai 13, 2011, pamoja na mtoto wa baba yake mdogo marehemu Sheni Sultani ambaye naye alifariki Julai 10, 2011 katika hospitali ya Amana jijini Dar. Shughuli hii imefanyika leo nyumbani kwa hayati Sekou Toure Kunduchi Mtongani, jijini Dar, kabla ya miili ya marehemu hao wawili kusafirishwa kuelekea Usangi kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika kesho Ijumaa
Waombolezaji wakijiandaa kuombea miili ya marehemu Sekou Toure Mndeme na Sheni Sultani leo
Miili ya marehemu ikitolewa nje ili kuswaliwa, kuangwa na hatimaye kusafirishwa
Mwakilishi wa benki ya CRDB akitoa rambirambi za mahali alikokuwa akifanyia kazi Sekou Toure
Sehemu ya waombolezaji
Ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu
Waombolezaji msibani
Mwili wa Sekou Toure ukiwasili nyumbani kwake
Mwili wa Sheni Sultani ukiwasili
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Cleopa David Msuya akisaini kitabu cha maombolezi
![]() |
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akisaini kitabu cha maombolezo. Karibu naye ni kaimu mkuu wa mkowa wa Dar es salaam Mhe. Mecky Sadiki |
Sahihi katika kitabu cha maombolezo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...