Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo (kushoto ) akibadilishana hati ya msaada wa shilingi bilioni 273 na Balozi wa Denmark nchini Bjarne Sorensen (kushoto) leo jijini Dar es salaam kwa ajili ya kusaidia bajeti ya serikali, elimu na kuimarisha utawala bora nchini.
Home
Unlabelled
denmark na korea kusini zaipa tafu Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...