Dkt. Arnold Chiwalawala akifanya vitu vyake vya muziki wa
asili wa Tanzania kwenye tamasha hilo
Bendera yetu ikipepea juu kutambulisha kuwepo
kwa msanii wa Tanzania tamashani
MTANZANIA DKT. ARNOLD CHIWALALA AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE TAMASHA LA 'INTERNATIONAL FOLKLORE FESTIVAL BALTICA 2011. LILILOFANYIKA tarehe 1 hadi 7. 7 MWEZI HUU MJI MKUU VILNIUS, NCHINI LITHUANIA. KWENYE TAMASHA HILI DR ARNOLD PAMOJA NA KUFANYA SOLO PERFORMANCES, ALITOA MIHADHARA NA KUENDESHA WARSHA JUU YA MUZIKI WA KIASILI WA KITANZANIA.
KWA HABARI ZAIDI JUU YA TAMASHA HILO ANGALIA LINK HII:
http://baltica.llkc.lt/index.
Safi sana, na hongera sana kwa kukuza sanaa yetu ya asili ugenini.
ReplyDeleteHongera sana kk Arnold kila la kheri katika maisha yako na family
ReplyDeleteHongera Dokta, tunashukuru sana for putting TZ on the map
ReplyDelete