Lotus wa BBA alikuwa mmoja wa wageni kibao waliofurika kushuhudia shoo ya vichekesho ya Evans Bukuku Comedy Club ukumbi wa Sweet Eazy, Oysterbay, jijini Dar usiku wa kuamkia leo
 Evans Bukuku akichana watu mbavu kwenye shoo hiyo ya nguvu
 Enika Bukuku na kundi lake wakiimba na kucheza kibao cha 'Sharobaro'
 Dogo Pepe naye no nouma katika kukupa swaga za Uswazi
Sauda Simba ndiye MC wa siku. Hapa akitumbuiza kibao chake kipya cha Jazz cha 'Fisadi'
Kijana mtanashati, Ray, akijoki kuhusu kamati za ufundi mpirani. Yaani utacheka ufe...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 06, 2011

    Hongera Bukuku na vijana wao kwa kazi nzuri lakini JENGA TABIA YA KUZINGATIA MUDA - unapowaahidi watu kwamba onyesho litaanza muda fulani, basi fuata muda ulioahidi, acha uswahili. Wwatu wamelipa fedha zao nawe heshimu muda kwa kuwapa burudani inayozingatia muda.

    Pia fanya mpango wa kualika Wachekeshaji Waalikwa ili wanogeshe onyesho, kuna wengi ambao wana vipaji lakini sio vibaya ukawapa nafasi angalau robo saa kila mmoja.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...