Vodacom Miss vyuo vikuu Glori Loli, akiwa na washindi wenzake Estol Gerald (kushoto) na Wema Mwanga, mshindi wa tatu.
Warembo tano bora katika Shindano la vodacom miss vyuo vikuu.
Mgeni rasmi katika Shindano hilo Mbunge wa Mchinga, Said Mtanda, akimkabidha kitita cha zawadi cha laki 7 fedha taslimu mshindi wa tatu katika shindano hilo.
Washiriki wa Vodacom miss vyuo vikuu wakipozi kwenye picha baada ya kumaliza kuonyesha mavazi mbalimbali katika shindanohilo, hapa wakisubili tano bora.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...