Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Fimbo Buttallah (pili kulia) akipena mkono na Warembo watakaoshiriki mashindano ya Redd's Miss Ilala 2011 na kuwatakia kila la kheri katika kambi yao inayoanza leo kwenye hoteli ya Lamada,Ilala jijini Dar.kulia ni Mrembo anaemaliza muda wake,Bahati Chande.
Mtaalam wa Mambo ya Habari wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu akipena mkono na Warembo watakaoshiriki mashindano ya Miss Ilala 2011.Kulia ni Msimamizi wa Warembo hao,Sylvia Shally.
Warembo wakiwa katika picha ya pamoja na Wasimamizi wao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2011

    kama mambo yenyewe ni haya tutaoa kweli?maana kila siku tunatangaziwa warembo,bongo tambarare wabeba box mpoooo,najua depoteee wanashangilia tuu

    ReplyDelete
  2. Ahsante Kaka. Tumewaona.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...