King of Ashanti Kingdom of Ghana, Otumfuo Osei Tutu II during a Tete a tete with former President Benjamin William Mkapa

 King of Ashanti Kingdom of Ghana, Otumfuo Osei Tutu II pose with President Jakaya Kikwete and Former President Mzee Benjamin Mkapa and other dignitaries at the State House in Dar es salaam over the weekend

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Natamani kama vazi lilivaliwa hapo lingekuwa la Kitanzania kuonyesha mgeni kukaribishwa kwetu na si kama vile Raisi wetu ametembelea Ashanti na kuvalishwa vazi lao...Tatizo la kutokuwa na vazi la Taifa ndio hili!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 11, 2011

    Mavazi mengine hayafai. Hapo hiyo shuka ikikuteleza tu mambo yapo hadharani. Vazi la taifa ni lile la kumuwezesha mtu kuwa tayari wakati wowote kuingia vitani. Vipi utaweza kukimbia na shuka kama hilo. Hata JK kalishutukia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...