Paul Lamboni Ngilangwa
(1940-2003)

Baba yetu mpendwa leo hii tarehe 15/7/2011 umetimiza miaka 8 tangu ulipotutoka na kuzikwa kijijini kwako Makoga-Njombe. Baba japokuwa haupo nasi kimwili utaendelea kuwepo mioyoni mwetu kila siku.

Tunakukumbuka sana kwa ukarimu wako,busara zako, ucheshi, maonyo uliokuwa ukitupa na mshikamano ulioujenga katika familia na ukoo wako wa Ngilangwa kwa ujumla.
Baba unakumbukwa sana na wake zako, watoto wako na wenzi wao, wajukuu, wanaukoo wa Ngilangwa, marafiki na majirani.

Kauli yako ya ‘…wanangu elimu ndio itakuwa urithi wenu toka kwangu…’ imeendelea kutujenga katika kutafuta elimu katika pande mbalimbali za nchi na dunia.

Tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi, tunaamini iko siku tutaonana tena!

Wakorintho 15:52-57

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. May Almighty good God Rest his Soul in Eternal Peace. Amen

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...