kikosi cha Yanga
 Kikosi cha St. George.
 Beki wa pembeni wa timu ya Yanga,Godfrey Taita akiwania mpira na Beki wa timu ya St. George ya Ethiopia,Abebaw Butako katika mchezo wa nusu fainali ya Kagame-Castle Cup unaoendelea hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar.mpaka hivi sasa hakuna timu iliyoweza kuona lango la mwenzake ikiwa ni dakika ya 38 ya mchezo.
 moja ya mikiki golini mwa St. George.
Sehemu ya Mashabiki wa Yanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...