Mdau akicheki vazi lake kwenye Derby Carnival wikiendi ilopita
 
SALAM

Msanii Mkali wa muziki wa Rap kutoka Urban Pulse alifunga mji wake wa kuzaliwa Derby alipofanya show la nguvu na kukaribishwa kwa shauku kubwa. Hii ilitokea   
Ndani Derby Carnival wikiend iliyopita. Maelfu ya wageni na wakazi wa Derby walifurahishwa sana na perfomance ya Mish na Producer wake Junior special SALIM na kuombwa tena warudi stegini tena ili waendelee kukamua zaidi.

Derby Carnival ilianzishwa tokea mwaka 1975 chini ya West Indian Community Association (DWICA) ambayo imekuwa ikileta utamu kutoka visiwa  vya 
Caribbean ndani ya Mji Wa Derby kwa kusherekea mila na desturi zao zilizoambatana na miziki ya Reggae, soca, Steelpan pamoja na mavazi ya kuvutia wakati wakizunguka mji mzima wa Derby. 

Carnival hii hufanyika mara moja kila mwaka kwa siku mbili Jumamosi na Jumapili.

Fire Brigade Mixtape CD ya Mish inapatikana katika download hapo chini

Asanteni,
URBAN PULSE CREATIVE

Msanii Mish za Fire sister Kutoka Urban Pulse akifanya makamuzi ya nguvu.
Kwa mapicha kibao BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...