Mkuu wa Mkoa wa Tabora ,Mh.Abeid Mwinyimsana akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Chief Promotions Bw.Amon Mkoga wakiwasabahi wasanii wa Ngoma maarufu kama MASWEZI ambayo Baba wa Taifa alikuwa akiitumia kipindi cha haraki za Uhuru,wakati wa uzinduzi wa Tamasha la Mtemi Mirambo linalofanyika kila mwaka mkoani Tabora na kudhaminiwa na TBL kupitia bia ya Balimi,Geita Goldmine,Swiss Cooperation,Fly 540,NSSF,NBS BUS,UNESCO,TTB,Channel Ten na Magic FM.
Mkuu wa mkoa mhe.Abeid Mwinyimsa akirusha mshale juu kuashiria uzinduzi rasmi wa Tamasha hilo.
Msanii Ali Mango alionyesha umahiri wake wa kuchezea na nyoka katika Tamasha hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 17, 2011

    tungejua kucheza na computer kama tunavyocheza na nyoka tungekuwa mbali sana!
    mdau hapa wa paris

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...