MKUU WA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA, MHANDISI DKT. RICHARD MASIKA AKIWAHUTUBIA BAADHI YA WANAFUNZI WALIOHITIMU KOZI YA (PRE-ENTRY COURSE) KWA AJILI YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA STASHAHADA YA UHANDISI KWA MWAKA WA MASOMO 2011/12, CHUO CHAWALI.
BAADHI YA WANAFUNZI WAKIKE WALIOHITIMU KOZI YA AWALI (PRE-ENTRY COURSE) WALIKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MKUU WA WILAYA YA ARUMERU MH. MECY SILA (KATIKATI).
BAADHI YA WAHITIMU WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MGENI RASMI, MKUU WA WILAYA YA ARUMERU , MHESHIMIWA BIBI MECY SILA PAMOJA NA MKUU WA CHUO DKT. RICHARD MASIKA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2011

    Well done Dr. Richard Masika! Your presence at Arusha Technical College has improved the College tremendously. I am aware that the College is now offering a degree programme in Civil and Irrigation Engineering. Keep it up!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 16, 2011

    mafunzo ya aina hii yaliniwezesha kutoka katika kuwa mama wa nyumbani baada ya kufeli form iv sasa nasoma shahada ya kwanza ya engineering udsm.
    hongera sana ATC wakomboeni na wengine

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 16, 2011

    Its high time to invest more on this kind of training as they give more opportunities to women to become engineers

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 16, 2011

    hongera atc for giving our girls this golden opportunity!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 17, 2011

    good work

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 18, 2011

    PONGEZI KWENU ATC KWA HATUA MLIZOPIGA ZA MAENDELEO KWA MUDA MFUPI SANA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...