Mzinga huu umetokea usiku wa kuamkia leo kwenye barabara ya mandela road maeneo ya tabata AMI,ambapo chanzo cha ajali hiyo ni hilo lori hapo mbele ambalo lilikuwa likiingia kwenye barabara hiyo ya Mandela tayati kwa safari yake ya mikoani,lakini lori hilo halikuweza kuendelea na safari yake baada ya kuharibika katikati ya barabara na matokeo yake hali ikawa hivi kutokana na uzembe wa dereva na kondakta wake wa kutoweka ishara yeyote barabarani ya kuashiria kuharibika kwa gari hilo.
 Hii ndio gari iliyoharibika sana kutokana na kuigonga hii pikup kwa kutokana na kwamba zilikuwa karibu karabu sana kwa kufuatana na ilikuwa katika mwendo wa kasi kidogo.
 Pikup ikiwa imegonga lori hilo lililokuwa limesimama katikati ya barabara kutokana na kuharibika kwake.
hivi ndivyo hali ilivyokuwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 16, 2011

    Ghosssh! Huyo mwenye roli kwa nini hakuweka alama mapema hadi yakatokea haya? na huyu mwenye pick up kwanini hakuwasha hazard mapema hadi akasababisha mwenzie agonge?Huyo mtu wa tatu aliyegonga pick up naye ama alikua spidi au alikua amelewa,hapo itabidi alipie pickup na gari yake kwa mfuko wake au insurance yake kwa kutokua muangalifu,pia naye kama betri ni nzima kwanini hajaweka alama au hata kuwasha hazard?. But i hope hakukua na vifo maana ni hasara watu wakifa hawakujiandaa kiroho.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...