![]() |
Aliyekuwa rafiki mpendwa wa Marehemu,Mpoki Bukuku akiweka shada la maua. |
![]() |
Muwakilishi wa Jeshi (JWTZ) kutoka Lugalo akiweka shada la maua. |
![]() |
Mhariri mtendaji wa Tanzania Daima na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri ambaye pia alikuwa rafiki wa karibu wa marehemu Danny,Absalom Kibanda akiweka shada la maua.Picha Zote na Michuzi Jr kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...