Familia ya Mgori & Dachi tunatoa shukrani zetu za dhati kwenu kwa upendo wenu mliouonyesha kwetu wakati wote wa msiba wa Mama yetu Kipenzi, Kahenga Mzee (pichani) aliyefariki tarehe 21/6/2011 Hapa Dar es Salaam na kuzikwa tarehe 22/6/2011 kwenye makaburi ya Kisutu DSM.

Vilevile tunapenda kuwakaribisha katika dua itakayo itakayo fanyika siku ya Tarehe 23/July/2011 mbezi juu kuanzia saa Tano asubuhi wote mnakaribishwa.
Kwa maelekezo zaidi piga
0787523152 au 0754391638
Asanteni
Mmungu amhufirie madhambi yake na amuwekekaribu nane katika pepo yake nasi Mmungu atupe hatma njema twendako
ReplyDeleteAmin
Makame haji sued