Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akizungumza jambo na Ujumbe wa Wabunge wa kambi ya upinzani waliofika Bungeni kujifunza namna Bunge letu linavyo fanya kazi hasa kwa kushirikisha kambi ya Upinzani.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkabidhi zawadi ya Mvinyo unaotengenezwa Dodoma na na ambao ni maarufu sana Duniani ( Presidential Wine - Reserve) kiongozi wa Ujumbe wa Wabunge wa kambi ya upinzani toka Bunge la Uganda Mhe. Atim Cecilia Ogwal mara baada ya kuonanan nao Ofisini kwake Dodoma. Wabunge hao wapo Bungeni kujifunza namna Bunge letu linavyo fanya kazi hasa kwa kushirikisha kambi ya Upinzani. Picha zote na mdau Owen  Mwandumbya wa Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...