Tunasikitika kuwatangazia kifo cha
Machira  NYITAMBE
Kilichotokea mchana leo huko  MUSOMA-TANZANIA
 Mazishi yatafanyika huko Kirongwe, Shirati, katika mkoa wa Mara.
 
Marehemu ni baba mzazi wa:
Mrs Veronica Dibogo Nyitambe
Mrs Beatrice Nyitambe(Baba Mdogo)
Mr Soni Nyitambe (Baba Mdogo) ,
 
 ambao wote wapo hapa Uingereza.
 Msiba upo
14 Rothwell Walk
Caversham
Reading
RG4 5DB
 Kwa mawasiliano zaidi tumia simu zifuatazo:
Bernard Chisumo
Mob: (0) 787 612 6862
Home: (0) 118 954 5890

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...