Tunasikitika kuwatangazia kifo cha
Machira NYITAMBE
Kilichotokea mchana leo huko MUSOMA-TANZANIA
Mazishi yatafanyika huko Kirongwe, Shirati, katika mkoa wa Mara.
Marehemu ni baba mzazi wa:
Mrs Veronica Dibogo Nyitambe
Mrs Beatrice Nyitambe(Baba Mdogo)
Mrs Beatrice Nyitambe(Baba Mdogo)
Mr Soni Nyitambe (Baba Mdogo) ,
ambao wote wapo hapa Uingereza.
Msiba upo
14 Rothwell Walk
Caversham
Reading
RG4 5DB
Kwa mawasiliano zaidi tumia simu zifuatazo:
Bernard Chisumo
Mob: (0) 787 612 6862
Home: (0) 118 954 5890
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...