Janeth Isinika akiongoza safu ya ushambuliaji ya wavulana usiku wa kuamkia leo kwenye shoo yao ya Equator Grill, Mtoni kwa Azizi Ally, jijini Dar
 Wakongwe Lwiza Mbutu, ambaye pia ni kiongozi wa bendi, na Lillian Internet, wakiongoza vijana wa kizazi kipya cha Twanga Pepeta, kwenye shoo hiyo
Kizazi kipya cha unenguaji cha Twanga Pepeta ni kivutio kikubwa katika bendi hiyo kongwe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...