Warembo wanaoshiriki Vodacom Miss Ilala na Kinondoni wakiwa katika mazoezi ya viungo ya pamoja yaliyoandaliwa na wadhamini wakuu wa mashindano hayo Vodacom Tanzania katika viwanja vya Kijitonyama jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa walimu wa Maoezi ya viungo kutoka Gym ya Genesis iliyopo Kijitonyama akitoa mazoezi ya viungo kwa warembo wa Vodacom Miss Ilala na Miss Kinondoni ambao walishiriki katika mazoezi ya pamoja yaliyoandaliwa na Vodacom Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mbona warembo wanafanya mazoezi pekupeku. Vodacoma wameshindwa hata kuwanunulia raba za mazoezi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...