Warembo wa Redd's Miss Kinondoni wakiwa wamebeba bidhaa kwa ajili ya kuwakabidhi watoto yatima wa kituo cha THM.
 Washiriki wa Redd's Miss Kinondoni wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wa kituo cha kulelea watoto yatima cha TMH (Tanzania Mitindo House) mara baara ya Warembo hao kuwapatia msaada wa vyakula na mahitaji mengine watoto wa kituo hicho.
Warembo wa Redd's Miss Kinondoni wakicheza muziki pamoja na Watoto hao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2011

    Huenda nia ikawa njema, lakini wajaribu kuwa wabunifu ili ziara ya hao mamiss iwe na manufaa fulani (zaidi ya kula) kwa watoto hao. Mfano, michezo ya kujenga afya, ubunifu wa vitu mbalimbali kupitia kuchora, kuchonga nk, simulizi tu mbalimbali za historia nk. Kucheza muziki na hao watoto sijui kuna manufaa gani!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...